Habari za muda huu, mimi ni mwanaume umri wangu miaka 25, mkazi wa mkoa wa Iringa Elimu yangu ni kidato cha nne,, natafuta kazi yeyote ile ambayo ni halali itakayoweza kuniwezesha kupata kipato kwaajili ya kujikwamua kimaisha, Asanteni.
Habari za muda huu, mimi ni mwanaume umri wangu miaka 25, mkazi wa mkoa wa Iringa Elimu yangu ni kidato cha nne,, natafuta kazi yeyote ile ambayo ni halali itakayoweza kuniwezesha kupata kipato kwaajili ya kujikwamua kimaisha, Asanteni.
Sasa unataka kazi gani ya kukukaa Ofisini? wewe umesema kazi yoyote sasa unauliwa kutembeza mabesenu huwezi tena. Dogo kwa elimu yako usifikirie skilled job
Sasa unataka kazi gani ya kukukaa Ofisini? wewe umesema kazi yoyote sasa unauliwa kutembeza mabesenu huwezi tena. Dogo kwa elimu yako usifikirie skilled job