Natafuta kazi

Natafuta kazi

explore

Member
Joined
Dec 14, 2016
Posts
48
Reaction score
25
Habar wakuu wa JF
Mim ni msichana wa miaka 23 naishi DSM Nina fani ya ukutubi ( librarian)
1. Ninauzoefu na fan niliyosome for 2yrs
2. Ninauzoefu na kazi za stationary and secretarial services
3. Ninauzoefu na kazi ya E-Money, CRDB agent and NMB agent pia . Hizo ni baadhi ya kazi ambazo Nina experience nazo na sio uzoefu wa kubabaisha .
Kwa mawasiliano ni PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom