ester mongi
Member
- Aug 14, 2015
- 26
- 6
Natafuta kazi iwe ya stationary secretary viwanda super market tigo pesa mpesa npo dar kibamba elimu nina certificate ya clearing
Utaweza ishi Moro vjjini afu mshahara utalizka.
Kwel ndugu wengine wanadharau sanaMzee watu wanapo omba msaada wa ajira wana maanisha hivyo kama huna msaada ni bora kupiga kimya kuliko kuuliza na kaa kimya na upo online... dharau sio nzuri kwa vijana wenu
Natafuta kazi iwe ya stationary secretary viwanda super market tigo pesa mpesa npo dar kibamba elimu nina certificate ya clearing
Kiwandani ipo nafasi na kama sifa unazo karibu.Niunganishe kwenye ishu ya kazi
Kiwandani ipo nafasi na kama sifa unazo karibu.Niunganishe kwenye ishu ya kazi
Ngoja nikutafute mkuu mimi ni muhanga wa ajira....Kama hujapata kazi, kuna nafasi ya kazi kiwandani nitakuunganisha, ni kazi ya kupanga bidhaa, wanalipa kwa siku kati ya 5000 - 7000. Na fursa hii ni kwa kijana wa kiume kati ya umri wa miaka 18 -35. Sifa ni Uwe na afya njema. Akili timamu na nguvu. Hakuna haja ya vyeti vya kuhitimu.
Tuwasiliane kwa kutuma neno 'KAZI KIWANDANI' kwenda namba 0786187408. Au nipigie moja kwa moja.
Karibu
kumbe na wewe chilla unalia lia ata kazi huna jf buanaNgoja nikutafute mkuu mimi ni muhanga wa ajira....
Siwezi lia Mzee... kazi ni muhimu kwa binadamu kama ilivyo elezwa katika vitabu vya Dini... nakushanga kwa kushangaakumbe na wewe chilla unalia lia ata kazi huna jf buana
pale juuu ulivoelezea m nikajua unataka kumpa kaz esterSiwezi lia Mzee... kazi ni muhimu kwa binadamu kama ilivyo elezwa katika vitabu vya Dini... nakushanga kwa kushangaa
sikutoa ahadi ya kazi kama ulisoma na kuelewa na ndio maana na yeye alielewa kwa mujibu wa comment yake... kuna watu humu huwa wanajitokeza kwa kujinadi kumpa mtu ajira lakini mwisho wa siku kimya nime fuatilia hadi kwa walio ahidiwa ajira kama wamepata lakini hamna kitu wanazungushwa mara hawajibiwi hivyo yani... ndio maana nilivyo ona hii post na Ndg. yangu aka ahidi kutoa msaada lakini amekimbia bila majibu stahiki wakati mtu yupo serious ndio maana amejitokeza hadharani....pale juuu ulivoelezea m nikajua unataka kumpa kaz ester
100% umesahau na wale wa PM mabingwa wa utapelsikutoa ahadi ya kazi kama ulisoma na kuelewa na ndio maana na yeye alielewa kwa mujibu wa comment yake... kuna watu humu huwa wanajitokeza kwa kujinadi kumpa mtu ajira lakini mwisho wa siku kimya nime fuatilia hadi kwa walio ahidiwa ajira kama wamepata lakini hamna kitu wanazungushwa mara hawajibiwi hivyo yani... ndio maana nilivyo ona hii post na Ndg. yangu aka ahidi kutoa msaada lakini amekimbia bila majibu stahiki wakati mtu yupo serious ndio maana amejitokeza hadharani....
kwangu mimi sio kitu kizuri, bora husitoe ahadi kama huwezi kuitimiza maana wengine wenye nia wanaweza ona tayari mtu amesha saidiwa kumbe bado na una sababish kumkosesha mtu ajira kwa vitu vya ajabu tu...
na kuna dhana ya watu kubagua kazi ndio maana kuna wengine wana toa visingizio kwamba kazi ya shamba kijiji fulani utaweza ukisema siwezi ana kuja na wengine wanakuja utafikiri walikuwa wana malengo ya kusaidia, watakunanga unachagua kazi, kwanni usijiajiri, nk
Ndio hivyo mkuuu100% umesahau na wale wa PM mabingwa wa utapel
kila la kheri mkuu 5000-7000 per day something is better than nothing.......Ndio hivyo mkuuu
Maeneo gani Bosi na sifa ni zipi?