Natafuta kazi

Natafuta kazi

sabyzoo

Member
Joined
Sep 28, 2016
Posts
7
Reaction score
16
Mambo vp wadau nomeona nitumie fulsa ya Uzi huu kutafuta kibarua maana maisha ya mtaa yamekaba baraa Mimi ni kijana wa miaka 28 naish dar natafta kibarua cha kujikim na maisha nimeangaika kwa muda mrefu pasipo mafanikio kwa ufupi nina experience ya kufanya kazi bank miaka miwili ambapo ilikua ni project baada ya hapo nikaamua kujiajiri kupitia Kilimo cha Kitunguu nilianza vizuri tu kwa kutengeneza faida nzuri na kuamua kuoa lakini mwaka huu nimepata hasara kubwa ktk Kilimo almost 10 mil. So wandugu Niko na hali mbaya nahitaji pakujishikiza
 
Nenda kaombe kaz ya driving ktk makampuni Mimi baada ya kumaliza chuo nilisota sana nikaamua kufanya udereva kwa MTU binafsi akiwa na kampuni yake mpaka nilopokuja kupata kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom