Natafuta Kazi za yoyote halali

Natafuta Kazi za yoyote halali

beautifulonyinye

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
728
Reaction score
481
Habari za wakati huu waungwana, Mimi ni binti wa miaka 25 nina elimu ya kidato cha NNE,na nimesomea hotel, natafuta Kazi yoyote iwe ya waitress, usafi mahotelini, maofisini, majumbani ,Viwandani, dishwasher ,kuuza duka au hata kwa wenye apartment wa kutaka wa kuwafanyia usafi na Kazi zote za ndani.. Natanguliza shukrani nipo Dar
 
mwaka 2015 ulikuwa na miaka 24, mwaka jana 2017 ulikuwa na miaka 25, mwaka huu 2018 una miaka 25....Maajabu ya dunia.
pamoja na maelezo mazuri uliyotoa khs kazi unazotaka/kumudu, bado inaweza kuleta ukakasi hasa pale mtu atakapotembelea profile yako, kwanza atagundua wewe ni mtu mwongo mwongo... hapo umejiharibia credibility. siku zote ukweli utakuweka huru.
 
mwaka 2015 ulikuwa na miaka 24, mwaka jana 2017 ulikuwa na miaka 25, mwaka huu 2018 una miaka 25....Maajabu ya dunia.
pamoja na maelezo mazuri uliyotoa khs kazi unazotaka/kumudu, bado inaweza kuleta ukakasi hasa pale mtu atakapotembelea profile yako, kwanza atagundua wewe ni mtu mwongo mwongo... hapo umejiharibia credibility. siku zote ukweli utakuweka huru.
Mkuu kuna vitu sio lazima sana kuvichunguza kama nia ya kumsaidia MTU ipo, we kilichopo mtu kama una mashaka nae unamwambia tu alete cheti chake cha kuzaliwa tu basi lakn kwenye maandishi tu kama hivi sidhani kama unaweza Kujaji moja kwa moja.. Asante kwa maoni yako pia
 
Habari za wakati huu waungwana, Mimi ni binti wa miaka 25 nina elimu ya kidato cha NNE,na nimesomea hotel, natafuta Kazi yoyote iwe ya waitress, usafi mahotelini, maofisini, majumbani ,Viwandani, dishwasher ,kuuza duka au hata kwa wenye apartment wa kutaka wa kuwafanyia usafi na Kazi zote za ndani.. Natanguliza shukrani nipo Dar
Ambayo ningekupa mimi hujailist hapo,na ni ya kuzungusha fruit salad kwenye maeneo mbalimbali,ningekutafuta
 
Mkuu kuna vitu sio lazima sana kuvichunguza kama nia ya kumsaidia MTU ipo, we kilichopo mtu kama una mashaka nae unamwambia tu alete cheti chake cha kuzaliwa tu basi lakn kwenye maandishi tu kama hivi sidhani kama unaweza Kujaji moja kwa moja.. Asante kwa maoni yako pia
Samahani kama nitakua nakosea, ila naingelea kitu ambacho ndio kinafanyika humu na especially Kwenye mitandao ya jamii Kwenye swala la maombi ya kazi.

Unapopost tangazo lako la kuomba kazi, yule mtu anaetazamia kukuajiri kiukweli anaipekua sana profile lako kujua hata nusu ya mtu anaetaka kumuajiri, atasoma posts zako za nyuma, atarejea majibu yako katika post mbali mbali, ataangalia profile yako kwa makini, ndo mwisho atajudge kama huyu mtu ananistaili au lah..

Ni vyema tukawa na profile zisizo na dosari linapokuja swala la kuomba kazi humu ndio maana mkuu apo juu kakuelewesha juu ya swala la umri!!

Mfano mzuri ni Mimi.... Niliwahi kua na account nyingine, ambayo nilikuwa napost nachoona sawa, majibu kila post hata zisizomaana...afu bado naomba kazi kupitia pale pale....lakini nilijitathimini nikabadilika, nikafungua hii na kua na mipaka since nilijua tu ipo siku nitajitokeza Mbele ya umati kuomba kazi na maboss wangu wataipekua profile yangu vizuri.

Nilipokuja kupost kutafuta kazi humu,haikupita Hata week kuitwa interview, na nikapata na mpaka Leo Namshukuru Mungu. Kwaiyo tujifunze kwakweli.
 
mwaka 2015 ulikuwa na miaka 24, mwaka jana 2017 ulikuwa na miaka 25, mwaka huu 2018 una miaka 25....Maajabu ya dunia.
pamoja na maelezo mazuri uliyotoa khs kazi unazotaka/kumudu, bado inaweza kuleta ukakasi hasa pale mtu atakapotembelea profile yako, kwanza atagundua wewe ni mtu mwongo mwongo... hapo umejiharibia credibility. siku zote ukweli utakuweka huru.
mkuu mwaka upo mwanzo je kama amezaliwa september kama mim subir ufike mwezi alio zaliwa atatimiza 26 kama unavyo taka
 
Habari za wakati huu waungwana, Mimi ni binti wa miaka 25 nina elimu ya kidato cha NNE,na nimesomea hotel, natafuta Kazi yoyote iwe ya waitress, usafi mahotelini, maofisini, majumbani ,Viwandani, dishwasher ,kuuza duka au hata kwa wenye apartment wa kutaka wa kuwafanyia usafi na Kazi zote za ndani.. Natanguliza shukrani nipo Dar
Samahani kama nitakua nakosea, ila naingelea kitu ambacho ndio kinafanyika humu na especially Kwenye mitandao ya jamii Kwenye swala la maombi ya kazi.

Unapopost tangazo lako la kuomba kazi, yule mtu anaetazamia kukuajiri kiukweli anaipekua sana profile lako kujua hata nusu ya mtu anaetaka kumuajiri, atasoma posts zako za nyuma, atarejea majibu yako katika post mbali mbali, ataangalia profile yako kwa makini, ndo mwisho atajudge kama huyu mtu ananistaili au lah..

Ni vyema tukawa na profile zisizo na dosari linapokuja swala la kuomba kazi humu ndio maana mkuu apo juu kakuelewesha juu ya swala la umri!!

Mfano mzuri ni Mimi.... Niliwahi kua na account nyingine, ambayo nilikuwa napost nachoona sawa, majibu kila post hata zisizomaana...afu bado naomba kazi kupitia pale pale....lakini nilijitathimini nikabadilika, nikafungua hii na kua na mipaka since nilijua tu ipo siku nitajitokeza Mbele ya umati kuomba kazi na maboss wangu wataipekua profile yangu vizuri.

Nilipokuja kupost kutafuta kazi humu,haikupita Hata week kuitwa interview, na nikapata na mpaka Leo Namshukuru Mungu. Kwaiyo tujifunze kwakweli.
cc beautifulonyinye enewei nicheki inbox kuna kazi ya commission
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom