Sio vizuri mnachofanya, sio lazima kucomment. Mtu anajitafutia riziki mnakuja na maneno ya ajabu ajabu. Heshimuni wenzenu
Wewe ni mwenyeji wa wapi, Unaishi wapi na ukifanya nini kwa sasa? Je ulishawahi kufanya hizo kazi? Mshahara wako unategemea uwe shs ngapi?