Natafuta kazi za ndani

Natafuta kazi za ndani

s_faith

Member
Joined
Oct 29, 2014
Posts
9
Reaction score
4
Mimi ni msichana wa miaka 24,,ninatafuta kazi za ndani dar rs salam,,,aliyetayari anitafute kwa namba 0769456582
 
All the best Dada yangu. Mungu akujaalie sawa na mahitaji yako
 
Wewe ni mwenyeji wa wapi, Unaishi wapi na ukifanya nini kwa sasa? Je ulishawahi kufanya hizo kazi? Mshahara wako unategemea uwe shs ngapi?
 
Vizuriii sana kaka umeonyesha umebeba nin kweny kichwa chako
 
Sio vizuri mnachofanya, sio lazima kucomment. Mtu anajitafutia riziki mnakuja na maneno ya ajabu ajabu. Heshimuni wenzenu
 
Kuna mtu anatafuta hapa hapa jukwaani.. hebu zungumza nae
 
Sio vizuri mnachofanya, sio lazima kucomment. Mtu anajitafutia riziki mnakuja na maneno ya ajabu ajabu. Heshimuni wenzenu

acha umbwiga uliona wapi BEKI 3 akijinadi humu mtandaoni???
 
Wewe ni mwenyeji wa wapi, Unaishi wapi na ukifanya nini kwa sasa? Je ulishawahi kufanya hizo kazi? Mshahara wako unategemea uwe shs ngapi?

mama d unaingizwa mkenge. mpigie simu si ameweka hapo? kisha wajulishe jf anchosema ni kwelii? magumashhhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom