Natafuta kazi za media

Natafuta kazi za media

MWIJA 08

Member
Joined
Jun 29, 2022
Posts
44
Reaction score
59
Natafuta kazi za media kama tangazo linavyojieleza hapo juu

Ninatafuta kazi mbalimbali za media nikiwa na UJUZI wa mambo mbali mbali ndani na nje ya studio kama vile , usomaji wa habari, Reporter wa habari, usomaji wa magazeti, kufanya vipindi maalumu, burudani, photography, videography na jingle za matangazo, u Dj, Kusimamia na kutengeneza maudhui ya Social media. (Instagram, twitter, facebook & YouTube) pamoja na Kufanya intaview na mtu/watu mbali mbali.

Napatikana Dar - es -salaam, +255710064096

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kwa maana una taaluma ya mambo ya habari au umejiongeza tu kupata huo ujuzi?
 
Sasa unakwama wapi, tengeneza contents uza. Acha kuwaza kuajiriwa.
 
Back
Top Bottom