Natafuta kazi yoyote

Natafuta kazi yoyote

sangutusya

Member
Joined
Feb 23, 2015
Posts
16
Reaction score
1
Natafuta kazi yoyote.

Taaluma yangu ni mwalimu wa shahada ya kwanza masomo ya Economics, mathematics na geography. nina umri wa miaka 26 Mtanzania na ninaishi Morogoro, nina uzoefu wa miaka miwili.

Ahsante.

Contact: 0766507383
 
wew ni mwalimu kweli uliyesomea fani hiyo? mana mwalimu huwa ana specilize kwenye masomo mawili au moja? sasa wew ni mwalimu gani unafundisha masomo matatu,,,,,,,au just mwl tuuu et?
 
wew ni mwalimu kweli uliyesomea fani hiyo? mana mwalimu huwa ana specilize kwenye masomo mawili au moja? sasa wew ni mwalimu gani unafundisha masomo matatu,,,,,,,au just mwl tuuu et?

specilize ya masomo yangu ni ECONOMICS and mathematics, but geography is just an adition. upo hapo mkuuu
 
ungesubiria, ajira zenu si next month? iyo kazi yoyote tena? kumbe ww ni professional bwana:nod:
 
Kenya kule Mandela nimesikia Walimu wamegoma kwenda sababu ya Dini yao.. Nadhani Nafasi zipo wazi...
 
Natafuta kazi yoyote.

Taaluma yangu ni mwalimu wa shahada ya kwanza masomo ya Economics, mathematics na geography. nina umri wa miaka 26 Mtanzania na ninaishi Morogoro, nina uzoefu wa miaka miwili.

Ahsante.

Contact: 0766507383

Una uzoefu wa miaka miwili ya kufanya nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom