Habari wana JF,
Nahitaji kazi yoyote halali itakayonipatia kipato naahidi kuifanya kwa weredi. Nimesema yoyote nikimaanisha sichagui kazi napitia hali mbaya sana msaada tafadhali. Nipo Dar, Tegeta.
Siwezi kuweka mawasiliano kama kuna anayehitaji anitafute dm ntampatia.
Nahitaji kazi yoyote halali itakayonipatia kipato naahidi kuifanya kwa weredi. Nimesema yoyote nikimaanisha sichagui kazi napitia hali mbaya sana msaada tafadhali. Nipo Dar, Tegeta.
Siwezi kuweka mawasiliano kama kuna anayehitaji anitafute dm ntampatia.
