Inakera na sio vizuri kuleta dhihaka hasa pale mwenzetu anapokuja na jambo linalohitaji msaada.
Kama unaona hauwezi kumsaidia kwa kumpatia kazi au kwa msaada wowote utakaomfaa, bora unyamaze utakua umemsaidia pia kuliko kuandika maneno yasiyo na maana yaliyojaa kejeli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.