Natafuta kazi yoyote halali

Natafuta kazi yoyote halali

Wandoto

Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
5
Reaction score
3
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 23, Elimu yangu kidato cha sita. Naishi mkoa wa Iringa.

Natafuta kazi yoyote halali mfano kazi za mashambani & kulisha mifugo, saidia fundi, kuuza duka, n.k.

Mawasiliano yangu ni 0689704085.
 
Jaribu hapo
Screenshot_20220628-145441.jpg
 
Daaa ungekuwa dar........ningekupa shavu la kuja kufundisha wanafunzi WA nusery school.....maana natafuta mwalimu anayeweza kufundisha awali, awe form four au six nitamfundisha kisha atakuwa mwalimu mzuri....au kama yupo mwalimu wabawali inbox au weka namba nitakupigia.
 
Daaa ungekuwa dar........ningekupa shavu la kuja kufundisha wanafunzi WA nusery school.....maana natafuta mwalimu anayeweza kufundisha awali, awe form four au six nitamfundisha kisha atakuwa mwalimu mzuri....au kama yupo mwalimu wabawali inbox au weka namba nitakupigia.
Kaka
 
Daaa ungekuwa dar........ningekupa shavu la kuja kufundisha wanafunzi WA nusery school.....maana natafuta mwalimu anayeweza kufundisha awali, awe form four au six nitamfundisha kisha atakuwa mwalimu mzuri....au kama yupo mwalimu wabawali inbox au weka namba nitakupigia.
Umeshapata mtu aisee hii fursa naezapata nikajishikiza mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom