Npo Maeneo ya mikanjuni mkuu !Upo Tanga sehem gani mkuu?
Mm n jinsia y kiume mkuuWewe jinsia gani? Tuanzie hapo
Hamna Mkuu usiseme hvo ch mcng n kisaidianaImagine ungekua umeandika cv yako ipo hivi unazani kuna mtu angejisumbua hata kuendelea kuisoma? Ingepelekwa kufungia mihogo mitaani
Mkuu siku nyingine ukiomba kazi jitahidi uelezwe elimu yako au ujuzi ulionao, kama huna chochote pia useme ili mtu ajue ni aina gani ya kazi anaweza kukupatia.Wakuu habari zenu, mimi ni kijana wa miaka 24, muaminifu. Naishi mkoa wa Tanga kwa aliye na connections na kazi yoyote halali tuwasiliane pm niko tayari, ili tulisongeshe gurudumu hili la maisha.
Watu wa Tanga kazi zao tunazijua,Mkuu siku nyingine ukiomba kazi jitahidi uelezwe elimu yako au ujuzi ulionao, kama huna chochote pia useme ili mtu ajue ni aina gani ya kazi anaweza kukupatia.
Usiishi kW kukariri ndugu ndo mawazo yko yalipoishia eehWatu wa Tanga kazi zao tunazijua,
1, kupala samaki!
2, kupalamiwa!