Natafuta kazi yeyote

Natafuta kazi yeyote

dafroser

Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
11
Reaction score
0
Salamu zenu ndugu zangu, mwenzenu kwa kweli nimefika mwisho na hii ishu nzima ya kusaka ajira, sioni dalili ya kupata, imefikia ndani hadi nimeishiwa na chakula, watoto wanalala njaa, nguo zimewaruka viatu ndo wanamalizia pea ya mwisho . Jamani kama single mama mwenye uchungu na hofu ya watoto kulala njaa nisaidieni na kibarua chochote kile niweze kufanya na kulipwa kwa siku maana maji yamenifika shingoni, nimekopa nimeomba hadi ndugu wananipiga chenga. Mwenzenu nisaidieni na kibarua ama kazi yeyote ile ilimradi isiwe ya kuuza maungo. Am serious. Natanguliza shukraan.


MAWASILIANO: 0655042717

ELIMU: Form 6, Diploma In Travel and Tour Operations
 
Pole dada,,,ngoja waje watakusaidia pia Mtegemee Mungu , atafanya.
 
Kiwango cha elimu?Form 6 Na Diploma In Travel N Tour Operations Mkuu.
 
Pole sana!!! je? unaweza ukafanya kazi kijijini?
 
Pole sana!!! je? unaweza ukafanya kazi kijijini?
mimi Ndugu Sichagui,popote Pale Halali Yangu.Nakula Msoto,chakula,kodi Na Mengi Shidaa..Ndugu Yangu.
 
Mungu always anajua chozi LA kila amwombae hawahi wala hachelewi
Ndugu Yangu Nimefika Mwisho Hadi Naona Sasa Anachelewa Maana Nakaribia Kufukuzwa Kisa Kodi,wanangu Sometimes Wanashinda Njaa,hapa Ningekua Na Kazi Yangetokea Wapi?
 
Wanajamii bado nalia na nyie ndugu zangu.wenye uwezo wa kunisaidia wanisaidie kibarua please. # yangu 0655042717.mbarikiwe
 
Mungu always anajua chozi LA kila amwombae hawahi wala hachelewi
Ndugu Yangu Nimefika Mwisho Hadi Naona Sasa Anachelewa Maana Nakaribia Kufukuzwa Kisa Kodi,wanangu Sometimes Wanashinda Njaa,hapa Ningekua Na Kazi Yangetokea Wapi?

Ndio maana hupati kazi coz umeanza kukufuru sasa. We nani umpangie Mungu kazi yake? Eti naona anachelewa. Kuwa na imani ya kweli, sio unamkumbuka Mungu sababu tu una shida.
 
pole dada yote mapito lkn kuwa jasiri na usikufuru mungu anatoa kwa kila mja wake na kwa muda mwafaka.
 
steveson manumbu,pole dada yote mapito lkn kuwa jasiri na usikufuru mungu anatoa kwa kila mja wake na kwa muda mwafaka. kweli kaka tena na Mungu Anisamehe,napita Pagumu.Anipe Tu Kazi.
 
steveson manumbu,pole dada yote mapito lkn kuwa jasiri na usikufuru mungu anatoa kwa kila mja wake na kwa muda mwafaka. kweli kaka tena na Mungu Anisamehe,napita Pagumu.Anipe Tu Kazi.

Du pole sana dada ningekuwa na chochote ningekusaidia usikate tamaa kumwomba Mungu yeye huwanyeshea mvua wema na wabaya maana sisi sote ni watoto wake. Mimi nina miaka 3 cjapata kaz ni bacherol kamwe cjakata tamaa ya kumwomba Baba yetu aliyejuu anasikia kilio chako kamwe muombe usikate tamaa maana hata ndugu wamekuwa ni maadui neno linasema siku za mwisho watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe wasiowapenda wa kwao. Hakika sisi tusiokuwa na ajira tumefanana na watu wa ugonjwa wa ebora kwa ndugu Lo! Yesu tusimamishe maana ww ndiye refaree wa wanyonge jina lako latosha amina
 
huna kipaji chochote au huna interest ya kujifunza chochote? Nina bachlr pia bt nilichukua hatua ya kjifunza kitu ambacho now kinanisaidia
 
Hapa mdau anatafuta kazi, fullstop. Mnamdanganya mnaosema aombe Mungu wakati watoto wake wapendwa wanahangaika. Ni vile siko A Town labda ningempa dili ili aweze kujikimu kwa muda.
 
Hapa mdau anatafuta kazi, fullstop. Mnamdanganya mnaosema aombe Mungu wakati watoto wake wapendwa wanahangaika. Ni vile siko A Town labda ningempa dili ili aweze kujikimu kwa muda.

Mdau hatujasema kuwa akae tu akiomba bal atafute hapa na pale lakin akimtangulza Mungu kwan neno linasema atafutaye hupata pia wenye uwezo wa kumsaidia ndiyo fursa kwa kipind alichonacho sasa
 
Back
Top Bottom