NATAFUTA KAZI YEYOTE HALALI MKOANI MBEYA

NATAFUTA KAZI YEYOTE HALALI MKOANI MBEYA

peru

Member
Joined
Nov 11, 2016
Posts
10
Reaction score
4
Habari zenu wakuu..
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22.. Ninaye ishi Mbeya mjini.. Elimu yangu ni diploma ya procurement and logistics.. Ila natafuta Kazi yoyote halali ya kuniingizia kipato hapa Mbeya mjini
Mawasiliano 0745468287
Asanteni
 
Wengine ni matapeli hawatafuti kazi
Sasa hata ukiona picha yake ndo utajua utapeli wake au ukweli wake hebu kama hatuna vitu za kuchangia kwenye uzi wa mtu muda mwingine tukae kimya bhana haipendezi
 
Sasa hata ukiona picha yake ndo utajua utapeli wake au ukweli wake hebu kama hatuna vitu za kuchangia kwenye uzi wa mtu muda mwingine tukae kimya bhana haipendezi
We Kama nani
 
we tafuta kazi dada maana hapa kazi tu, hata hyo kutafuta kazi inaeza kua kazi
 
Habari zenu wakuu..
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22.. Ninaye ishi Mbeya mjini.. Elimu yangu ni diploma ya procurement and logistics.. Ila natafuta Kazi yoyote halali ya kuniingizia kipato hapa Mbeya mjini
Mawasiliano 0745468287
Asanteni

Dear hii namba yako ya simu naruhusiwa kuitumia kwa mambo mengine,yale mambo yetu yale?
 
Back
Top Bottom