Natafuta kazi ya usiku

Natafuta kazi ya usiku

Shemtibuko

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
728
Reaction score
1,014
Salaam wakuu.

Natafuta kazi ya usiku, ikianzia saa 3 usiku mpaka sa 1 asubuhi itakua vizuri.

Nina uzoefu wa miaka 2 na nusu kwenye nyanja ya usafirishaji.

Kampuni ikiwa based Kurasini au Bandarini itakua vizuri zaidi.

Kwa nini nimechagua usiku?

Kwa sababu kazi niliyo nayo kwa sasa naingia kazini siku 4 na kupumzika tatu kwa week. Na hizo nne naingia kuanzia sa 4 asubuhi kutoka sa 1 usiku, hivyo nakua na muda mwingi wa kufanya mambo mengine.

Nawasilisha.
 
wanakuja mkuu.. ngoja waamke.
karibu night shift.
 
Salaam wakuu.

Natafuta kazi ya usiku, ikianzia saa 3 usiku mpaka sa 1 asubuhi itakua vizuri.

Nina uzoefu wa miaka 2 na nusu kwenye nyanja ya usafirishaji.

Kampuni ikiwa based Kurasini au Bandarini itakua vizuri zaidi.

Kwa nini nimechagua usiku?

Kwa sababu kazi niliyo nayo kwa sasa naingia kazini siku 4 na kupumzika tatu kwa week. Na hizo nne naingia kuanzia sa 4 asubuhi kutoka sa 1 usiku, hivyo nakua na muda mwingi wa kufanya mambo mengine.

Nawasilisha.
Umesoma vizuri sheria za kazi/ajira nchini? Wanazungumziaje kufanya kazi kwenye kampuni mbili? Umesoma mkataba wa ajira wa kazi yako? wanazungumziaje kufanya kazi kwenye kampuni nyingine?
 
Salaam wakuu.

Natafuta kazi ya usiku, ikianzia saa 3 usiku mpaka sa 1 asubuhi itakua vizuri.

Nina uzoefu wa miaka 2 na nusu kwenye nyanja ya usafirishaji.

Kampuni ikiwa based Kurasini au Bandarini itakua vizuri zaidi.

Kwa nini nimechagua usiku?

Kwa sababu kazi niliyo nayo kwa sasa naingia kazini siku 4 na kupumzika tatu kwa week. Na hizo nne naingia kuanzia sa 4 asubuhi kutoka sa 1 usiku, hivyo nakua na muda mwingi wa kufanya mambo mengine.

Nawasilisha.
Wengine hata hiyo moja hawana wewe unataka ya pili.
LIFE IS NOT FAIR.
 
Wengine hata hiyo moja hawana wewe unataka ya pili.
LIFE IS NOT FAIR.

Hatari sana.

Dunia haipo sawa kabisa na mwisho wa siku jamaa atapata kazi ya pili wakati kuna mwingine miaka inaenda hata kazi moja hapati.
 
Umesoma vizuri sheria za kazi/ajira nchini? Wanazungumziaje kufanya kazi kwenye kampuni mbili? Umesoma mkataba wa ajira wa kazi yako? wanazungumziaje kufanya kazi kwenye kampuni nyingine?
Nmesoma sheria vizuri sana na niko makini kwenye hilo.
 

Hatari sana.

Dunia haipo sawa kabisa na mwisho wa siku jamaa atapata kazi ya pili wakati kuna mwingine miaka inaenda hata kazi moja hapati.
Mkuu unajua nimetafuta kazi kwa miaka mingapi? Enewei,
usiposema shida zako hakuna nabii atakuja kukusaidia kuzisema kwa wengine. Na suala la kupata kazi au kukosa ni suala la wakati tu wasikate tamaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom