Priscilla priscon
Member
- May 12, 2018
- 57
- 53
Habari nahitaji kazi ya kufanya usafi popote(nyumbani,shuleni,hotelini,ofisini au restaurant na kwingineko) ninauzoefu wa mwaka mmoja naishi Dar es salaam.
Unataka ulipwe kiasi gani?
makubaliano tu
itategemea na ukubwa wa eneo
Kama huna cha kupost c utulie jaman, sasa ni mambo gan haya? Mnaboa bna
uKO WAPhabari?
nahitaji kazi ya kufanya usafi popote(nyumbani,shuleni,hotelini,ofisini au restaurant na kwingineko)
ninauzoefu wa mwaka mmoja.
naishi dar es salaam.
Sasa mdeki choo anaombea kazi JF kwel?
nipo dar es salaamuKO WAP
hujafa hujaumbika IPO SKU yako na wewe.Kama huna cha kupost c utulie jaman, sasa ni mambo gan haya? Mnaboa bna
Ninyi ndiyo watu mlioshiba awamu hii ya tano, mtu anatafuta ajira halafu wewe unampuuza??!Kama huna cha kupost c utulie jaman, sasa ni mambo gan haya? Mnaboa bna
Jokajeusi, post: 29294189, member: 49125hujanijibu
Ninyi ndiyo watu mlioshiba awamu hii tano, mtu anatafuta ajira halafu wewe unampuuza?? '
kuimba kupokezanaSasa kama mtu mwenyew n mpuuzi je???
Ana upuuzi gani??Wewe leo umeshiba ila nakuhakikishia kesho njaa ni kwako!!Sasa kama mtu mwenyew n mpuuzi je???
kuimba kupokezana
Jokajeusi, post: 29294189, member: 49125
swali la lako ni LA mtego
Hili jibu lako linaumiza sana, mwombe Mungu akupe maarifa na busara zaid sana tubu kwa hiliKama huna cha kupost c utulie jaman, sasa ni mambo gan haya? Mnaboa bna
Kwa hyo wale wasiokua na vyeti vya kutafuta kazi kama yako, wanatakiwa kuandika wap ??? Aseee ur very stupidHuwezi kutafutia kazi ya kufagia hapa JF ni uongo.
Tena nasisitiza kama bando lako linakaribia kuisha ni bora udownload ngono ufurahishe nafsi, co mnatujazia saver tu hapa
Unaongea ukiwa dunian kweli?Kama huna cha kupost c utulie jaman, sasa ni mambo gan haya? Mnaboa bna