Habari ya majukumu,na hongereni kwa kazi ya ujenzi wa Taifa,mimi ni kijana wa miaka 31,ninatafuta kazi udereva,katika kampuni,taasisi,shirika na hata kwa mtu binafsi,nina driving licence class E(a,b,d&e) na driving certificate,nina uzoefu wa zaidi ya miaka mitatu,ni mwenyeji wa maeneo mengi ya jijini Dar es salaam.
Nina uzoefu wa safari ndefu,nimewahi kudrive mpaka nchi za jiran km zambia,congo(DRC) na Zimbabwe.nina elimu ya kidato cha sita,ni computer literate,na ninajua lugha za kiswahili na kiingereza kwa ufasaha,napatikana Dar es salaam.
kwa simu namba 0715 410909,
Nina uzoefu wa safari ndefu,nimewahi kudrive mpaka nchi za jiran km zambia,congo(DRC) na Zimbabwe.nina elimu ya kidato cha sita,ni computer literate,na ninajua lugha za kiswahili na kiingereza kwa ufasaha,napatikana Dar es salaam.
kwa simu namba 0715 410909,