mwainadimakubi
Member
- Jul 18, 2018
- 15
- 9
Leseni yangu daraja C1 uzoefu miaka 6 nipo tayari kufanya kazi mahala popote namba zangu 0712319841 msaada wenu wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu niliishia form 2 kutokana sababu mbalimbali kuhusu utumishi wa sijawahi omba kulingana na kigezo cha cheti mkuuMkuu una cheti cha form 4??? Vipi ulishawahi kuomba utumishi ajira za udereva?? Maana zinatoka kila siku hadi natamani niache ualimu niwe dereva
Ohooo. Kwa uzoefu huo ungeshakula bingo zamani. Kama una uwezo sio mbaya ujitahidi usome. Kwmw una uwezo lakiniHapana mkuu niliishia form 2 kutokana sababu mbalimbali kuhusu utumishi wa sijawahi omba kulingana na kigezo cha cheti mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu em nipe raman kuhusu izl ajira za utumishi,,uwa zinatangazwa wap nikajaribu kuomba uko mm nna cheti cha form4Mkuu una cheti cha form 4??? Vipi ulishawahi kuomba utumishi ajira za udereva?? Maana zinatoka kila siku hadi natamani niache ualimu niwe dereva
Na cheti cha udereva unacho??Mkuu em nipe raman kuhusu izl ajira za utumishi,,uwa zinatangazwa wap nikajaribu kuomba uko mm nna cheti cha form4
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipi cha basic au Advanced driver??
(PSV) Advanced driver nimesoma VETAKipi cha basic au Advanced driver??
Unanichanganya. Ni PSV au VIP
Una Class zipi mkuu za leseni
kwenye cheti nimehalalishwa kua na C plain,, ila kwny leseni bado ipo E sababu nilipoenda kusoma ilikuwa nimetoka kurenew leseni mwezi mmoja nyuma,,so kule TRA nimeambia nikae angalau mwaka ndo niende nikabadilishe tena lesenUna Class zipi mkuu za leseni
Ohooo. Sawa boss.kwenye cheti nimehalalishwa kua na C plain,, ila kwny leseni bado ipo E sababu nilipoenda kusoma ilikuwa nimetoka kurenew leseni mwezi mmoja nyuma,,so kule TRA nimeambia nikae angalau mwaka ndo niende nikabadilishe tena lesen
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa kutumia hii niliyokuwa nayo ClassE siwez fanya ivyo? maana cheti kinaruhusu mkuuOhooo. Sawa boss.
Unatakiwa kufungua account ajira.go.tz
Kisha utajaza details zako pamoja na nakala za vyeti vyako. Na passport sized pic
Kisha kazi zikitoka ww ni kuaply na kusubiri kuitwa.
Tafuta iyo leseni kwanza
Kuendesha magari y serikali hasa ya viongozi unahitaji hasa kuanzia C1kwa kutumia hii niliyokuwa nayo ClassE siwez fanya ivyo? maana cheti kinaruhusu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana kiongoz ngoja niendelee kutumia ichi cheti kuombea kaz had pale trh za kurenew lesen itakapofika,,Kuendesha magari y serikali hasa ya viongozi unahitaji hasa kuanzia C1
Vizuri boss. Bado muda gani?Ahsante sana kiongoz ngoja niendelee kutumia ichi cheti kuombea kaz had pale trh za kurenew lesen itakapofika,,
Sent using Jamii Forums mobile app