J josephmenganyi Member Joined Feb 20, 2018 Posts 6 Reaction score 6 Feb 20, 2018 #1 Habari wana jf natafuta kazi ya udereva nakaa dar es salaam Kivule. Gari yoyote kasoro Gari za abiria yani daradara. Mawasiliano yangu 0659487392
Habari wana jf natafuta kazi ya udereva nakaa dar es salaam Kivule. Gari yoyote kasoro Gari za abiria yani daradara. Mawasiliano yangu 0659487392
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,159 Reaction score 72,199 Feb 22, 2018 #2 Unachagua kazi..ningekupa dili la Daladala ila basi tena kwa heri
adden JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 7,033 Reaction score 15,699 Feb 22, 2018 #3 Njoo nikupe fiat la mchanga.kama mtoto wa mama usije lakini maana kona yake na breki inakuwa kama unapiga mwizi vile
Njoo nikupe fiat la mchanga.kama mtoto wa mama usije lakini maana kona yake na breki inakuwa kama unapiga mwizi vile