Natafuta Kazi ya uandishi wa Habari na utangazaji

journ

New Member
Apr 28, 2017
2
0
Mimi nikijana wakiume Nina miaka 25 nipo sinza dar nimesomea Kazi ya uandishi wa habari na utangazaji ngazi ya cheti na ninauzoefu wa mwaka mmoja katika kazi hii.


Bila matusi wala kejeli naomba unisaidie niweze kupata kazi hii kwani naipenda sana napatikana kupitia 0756493645

Ahsante


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom