Natafuta kazi ya Ualimu

Natafuta kazi ya Ualimu

Msigazi Mkulu

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
4,186
Reaction score
3,418
Mimi nina shahada ya kwanza ya ualimu,masomo ya kufundishia ni kiswahili na kiingeleza.Tafadhali anayeweza kunisaidia kupata shule binafsi ani PM
 
chuo gan funguka.... jina la chuo linamata...
mwaka gan umemaliza
experience... hvyo ndio watu wanavyojitangaza...
 
chuo gan funguka.... jina la chuo linamata...
mwaka gan umemaliza
experience... hvyo ndio watu wanavyojitangaza...

Chuo kikuu cha Elimu Mwenge kilichopo Moshi ambacho ni tawi la SAUT.Nimemaliza mwaka jana(2013)
 
Hongera kwa kuhitimu na pia pole kwani ajira hata ya ualimu imekuwa ngumu kishenx kwa sasa,washkaji zangu huu ni mwaka wa 3 wanaranda tu mitaani, vischools vya kupigia tempo vipo ila malipo ndo kesi!! kama kuna uwezekano wa kuanzisha katuition room anzisha kwani vinalipa!!
 
Hongera kwa kuhitimu na pia pole kwani ajira hata ya ualimu imekuwa ngumu kishenx kwa sasa,washkaji zangu huu ni mwaka wa 3 wanaranda tu mitaani, vischools vya kupigia tempo vipo ila malipo ndo kesi!! kama kuna uwezekano wa kuanzisha katuition room anzisha kwani vinalipa!!

Asante sana kwa ushauri japo nimesha fanya hivyo ila bado hali ni ngumu ndo maana nikatangaza hapa JF
 
hukuomba serikalini eeeeeh bac subir muujiza kule ndo ajira yenu ilipo private utakuna sana nazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom