Natafuta kazi ya stationary

Natafuta kazi ya stationary

mimi dada

Member
Joined
May 16, 2015
Posts
6
Reaction score
1
Elimu:FORM IV pia nimesomea computer,nina Uzoefu zaid 3yrs nikifanya Stationary,Internet na PASSPORT SIZE
No.0673306352
 
niko Tegeta DAR ES SALAAM ila niko tayari kufanya kazi sehemu yoyote hapa DAR
 
Naitwa Goshen Gerald Wa Kinondoni Dar
Natafuta Kazi ya Secretary office au stationary
Na CV na uzoefu pia Wakutosha miaka NNE katika Kazi
Office iwe Dar au nje nchi
Typing na speed mzuri
Mc word
Mc puplisher
Mc excel
Na printing zote copy internet technology
Contact 0679 421259
emagosheni1@gmail.com
 
Du!kweli ajira zimekuwa ngumu,hasa kwetu sisi wa dada mpaka unafikiri kujiingiza kwenye mambo yasiyo takiwa ili mkono uende kinywani,mm pia nishahangaika sana bila mafanikio, watu wanajiajiri kwa kujuana, uji
 
Tusaidiane wana jf,mm pia nimesoma full sectarial course pamoja na Hotel management lkn kila napoenda kuomba kazi naambiwa nafasi hamna,ukibahatika unaambiwa acha cv kuitwa majaariwa.tena bora umkute reception wa kiume anaweza kuzifikisha kwa mhusika,ila siye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom