MR KITAMBI
Member
- Nov 16, 2012
- 6
- 1
Nina certificate ya secretarial course,nina ujuzi wa ms word,excel,data base na typing.nina uzoefu wa kutosha,niko tayari kufanya kazi kokote tanzania.wadau nisaidieni
Nina certificate ya secretarial course,nina ujuzi wa ms word,excel,data base na typing.nina uzoefu wa kutosha,niko tayari kufanya kazi kokote tanzania.wadau nisaidieni
No disrespect intended!,ila sijawahi ona secretary wa kiume.
Kila la kheri mkuu.