Natafuta kazi ya secretary

Natafuta kazi ya secretary

MR KITAMBI

Member
Joined
Nov 16, 2012
Posts
6
Reaction score
1
Nina certificate ya secretarial course,nina ujuzi wa ms word,excel,data base na typing.nina uzoefu wa kutosha,niko tayari kufanya kazi kokote tanzania.wadau nisaidieni
 
Nina certificate ya secretarial course,nina ujuzi wa ms word,excel,data base na typing.nina uzoefu wa kutosha,niko tayari kufanya kazi kokote tanzania.wadau nisaidieni

No disrespect intended!,ila sijawahi ona secretary wa kiume.
Kila la kheri mkuu.
 
Tatizo una mawazo mgando sio kosa lako.Ipo siku utakuja andika hujawahiona mpishi wa kiume!Sio kosa lako hunda elimu kuhusu gender division of labour,in short hujahama from copying to Critically analysis of issues,kama huna la kuchangia ni bora ukae kimya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom