Natafuta kazi ya nursing

Natafuta kazi ya nursing

shaa wa ham

Member
Joined
Jan 22, 2014
Posts
10
Reaction score
6
Anatafuta kazi ya nursing msichana ana umri wa miaka 20 elimu yake kidato cha nne,ana certificate ya nurse attendant,anauzoefu wa miaka 3,ni mchapakazi hodari.
msaudueni mdogo wangu jamani amechoka kujitolea kwa muda mrefu sasa anahitaji kuajiriwa.
 
Msaidie aongeze hata diploma na huo uzoefu alionao kwenye cheti cha uuguzi kitamsaidia kupata kazi akiwa na diploma
Ni ushauri wangu
 
Anatafuta kazi ya nursing msichana ana umri wa miaka 20 elimu yake kidato cha nne,ana certificate ya nurse attendant,anauzoefu wa miaka 3,ni mchapakazi hodari.
msaudueni mdogo wangu jamani amechoka kujitolea kwa muda mrefu sasa anahitaji kuajiriwa.

Mpigie huyu jamaa 0768932789, kama kuna nafasi anaweza kumsaidia
 
Huyo mtu ndugu yako form four alipata matokeo mazuri coz kuna watoto wengi nimewah kukutana na hizo kesi wamesoma certificate ya nursing wakati walipata zero hata D ya biology unakuta hawana so kama vp hatuhakikishie kama hakupata division five tujue namna ya kumsaidia
 
hapo mnapokaa hamna dispensary? au mwambie atume maombi wizarani.
 
Anatafuta kazi ya nursing msichana ana umri wa miaka 20 elimu yake kidato cha nne,ana certificate ya nurse attendant,anauzoefu wa miaka 3,ni mchapakazi hodari.
msaudueni mdogo wangu jamani amechoka kujitolea kwa muda mrefu sasa anahitaji kuajiriwa.

Nurse assistant certificate yao haitambuliwi na serikali ila sema yupo wapi yeye? kuna kazi ya kuuza duka nadhani anaiweza hiyo.
 
Back
Top Bottom