una umri gan 2kusaidie.?
kwanini usijiajili kwa kuanza kuwafundisha watoto wa hapo mtaa kwa bei nafu. Na ukishajenga jina unapandisha na baadae unaanzisha shule yako
habar! naitwa JANET,mm ni mwalimu wa NURSERY nilikua nafundisha shule moja inaitwa ENJOY'S iliyopo DODOMA.lkn kwa sasa nimeamia DAR hivyo natafuta kazi.Nimetuma application kwenye shule mbalimbali lkn bado sijafanikiwa. Naomba msaada wenu
ungependa pia kufundisha watoto private lessons?unahitaji kulipwa sh. ngapi kwa private lessons kama uko tayari?
una umri gan 2kusaidie.?
ok, basi ni pm namba yako nikuunganishe na mtu hakika atakusaidia.
miaka 24
kua makini na matapeli wa mapenzi dada yangu kipenzi
Taratibu mdogo wangu, usijiachie sana, utakuja kujuta maisha yako yote, usidhani watu wote ni wema humu jf
habar! naitwa JANET,mm ni mwalimu wa NURSERY nilikua nafundisha shule moja inaitwa ENJOY'S iliyopo DODOMA.lkn kwa sasa nimeamia DAR hivyo natafuta kazi.Nimetuma application kwenye shule mbalimbali lkn bado sijafanikiwa. Naomba msaada wenu
habar! naitwa JANET,mm ni mwalimu wa NURSERY nilikua nafundisha shule moja inaitwa ENJOY'S iliyopo DODOMA.lkn kwa sasa nimeamia DAR hivyo natafuta kazi.Nimetuma application kwenye shule mbalimbali lkn bado sijafanikiwa. Naomba msaada wenu