milton jackson
Member
- Apr 20, 2017
- 32
- 15
Bro natarajia kufungua Medical Centre soon, tuwe tunawasilianaMimi ni kijana wa miaka 25 , naishi Dar nimejitokeza kwenu kuomba nafasi ya kazi ya Maabara kwani ninacho cheti Lab assistant. Naombeni mnisaidie kupata ajira hata kwa ndugu zenu wenye hospital au dispensary mniulizie. Nitawashukuru sana 0765 626 871
Cheti unacho???
anachoCheti unacho???
Nina CertificateUna diploma au certificate?je umesajiliwa na bodi?
Una diploma au certificate?je umesajiliwa na bodi?