Natafuta kazi ya kuuza duka

Natafuta kazi ya kuuza duka

Joined
Jan 15, 2018
Posts
79
Reaction score
97
Wakubwa shikamoon......wenzang habarin....pia polen na majukum ya hapa na pale......samahan wapendwa nimekuja kwenu na ombi la kazi......mie ni mschana wa miaka23 na nina mtoto nimekuja kwenu nashida ya kimaisha kwaiyo nimeona bora nitafute kazi ambayo itakizi mahitaj yang na ya mwanang.....kwaiyo yeyote anaetambua hiz chaneli ama yey mwenyewe anahitaji nipo tayari....msaada wenu wakubwa kwa mawasiliano napatikana arusha namba ya simu ni 0786887374



Karibuni
 
Umekosea kusema kuwa una mtoto,umepiga teke kopo la dhababu.
PM yako ingekuwa busy sana!!
 
  • Thanks
Reactions: sab
Ombi la kazi,sasa mtoto kaingiaje hapa?...nahisi kuna nia fiche kwa baba mwenye duka hapa.
 
Wakubwa shikamoon......wenzang habarin....pia polen na majukum ya hapa na pale......samahan wapendwa nimekuja kwenu na ombi la kazi......mie ni mschana wa miaka23 na nina mtoto nimekuja kwenu nashida ya kimaisha kwaiyo nimeona bora nitafute kazi ambayo itakizi mahitaj yang na ya mwanang.....kwaiyo yeyote anaetambua hiz chaneli ama yey mwenyewe anahitaji nipo tayari....msaada wenu wakubwa kwa mawasiliano napatikana arusha namba ya simu ni 0786887374



Karibuni
Kama unataka kazi kweli tuwasiliane 0783516666.
 
Back
Top Bottom