Natafuta kazi ya kujitolea ualimu

Natafuta kazi ya kujitolea ualimu

Bampalo

Member
Joined
Sep 13, 2017
Posts
29
Reaction score
32
Nadhani mada tajwa inajieleza, nimehitimu stashahada ya sekondari ualimu wa sayansi Kemia na Biologia pia ni mwalimu mzuri wa Hisabati. Natafuta kazi ya kujitolea
 
Nadhani mada tajwa inajielezaa nimehitimu stashahada ya sekondari ualimu wa sayansi kemia na biologia pia ni MWALIMU mzurii wa hisabatii natafta kazi ya kujitoleaa
Shule zipo kibao, nenda Stamaria salome secondary school ipo Boko
 
Shule zipo kibao, nenda Stamaria salome secondary school ipo Boko
Shule zipo kibao kweli lakini ni chache sana zinazokubali huko kujitolea maana tunatumia lugha ya kujitolea ila kimsingi tunatangaza njaa i.e we expect something in return (japo ki hela cha kuunga bundle) hapo ndo shule zinapokuwa chache sasa.
 
Kemia unaimudu sawasawa,,pga ,,,0759801694
Nadhani mada tajwa inajieleza, nimehitimu stashahada ya sekondari ualimu wa sayansi Kemia na Biologia pia ni mwalimu mzuri wa Hisabati. Natafuta kazi ya kujitolea
 
Unataka ukawatafune mabinti wa sec wewe usome kwa fedha alafu ujitolee tu bure
aaaah Mkuu hdo tunaita ni teaching allowance acpotafuna yy bodaboda wapo watataffuna tu
 
Shule zipo kibao kweli lakini ni chache sana zinazokubali huko kujitolea maana tunatumia lugha ya kujitolea ila kimsingi tunatangaza njaa i.e we expect something in return (japo ki hela cha kuunga bundle) hapo ndo shule zinapokuwa chache sasa.
Bro navosema KUJITOLEA namanishaa
 
Back
Top Bottom