Natafuta kazi ya kujitolea Morogoro mjini

Natafuta kazi ya kujitolea Morogoro mjini

mazuu

Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
21
Reaction score
2
Jamani wana JF! Mimi nimemaliza BBA , natafuta nafas ya kujitolea Mahal popote bila malipo, ili niwe na experience!

Pls naomba mnisaidie.
 
Jmn wana jf! Mimi nimemaliza BBA , natafuta nafas ya kujitolea Mahal popote bila malipo,ili niwe na experience! pls naomba mnisaidie.

oh upo tayari kujitolea matombo?
 
nilishaenda nikajaribu wakasema wao kaz zao nizamsimu ko haiwezekan
 
Samahan! naomba unielekeze kupm! mana hua sielew wanapm Vp ili nikupm, Bt email yangu ni jeyisdory@gmail.com
 
Samahan! naomba unielekeze kupm! mana hua sielew wanapm Vp ili nikupm, Bt email yangu ni jeyisdory@gmail.com

Ku-pm ndio kumtumia huyo mtu Private Message.

Bonyeza jina lake, ukifunguka wasifu wake utaona sehemu Send *** a Private Message, bonyeza hapo. Itakuja field ya kwanza yenye jina lake, ya pili weka title ya message yako na ya tatu kubwa ndio andika ujumbe. Kama kwenye email tu. Kisha click Send.
 
mm ni ke!

juzi nlibandka uzi wangu kua wadada hamjitambui ila hamuelewi tu kama unaomba kazi mtu anakuuliza ni me au ke ukisema ke anakuambia pm jua hakuna kazi hapo utaishia Kuombwa namba na kupanuliwa mapaja tu
 
Kuwa makini mjitu humu ulivyoandika ati we ke suruali zimeishatengeneza nundu mbele,ati kazi mpaka akuulize jinsia
 
yaan akil nyingine majanga kbsa
hiyo kazi ambayo mpaka ajue jinsia yako we huwez kujiuliza ni kazi gan?na kuna siri gan hapo mpaka atake um PM?na wew unajilengesha tu et oohoo nielekeze namna ya ku Pm!!
fanya nae appointment uone kazi yake
 
yaan akil nyingine majanga kbsa
hiyo kazi ambayo mpaka ajue jinsia yako we huwez kujiuliza ni kazi gan?na kuna siri gan hapo mpaka atake um PM?na wew unajilengesha tu et oohoo nielekeze namna ya ku Pm!!
fanya nae appointment uone kazi yake

ataishia kuto.... Huyo
 
Nipo maeneo ya SUA huku hali nzuri tu njoo nikupe kazi ya house girl lakini haitakuwa bure kabisa nitakucheki kidogo chakula kila kitu juu yangu
 
Nipo maeneo ya SUA huku hali nzuri tu njoo nikupe kazi ya house girl lakini haitakuwa bure kabisa nitakucheki kidogo chakula kila kitu juu yangu

kuwa serious.! Usijione sana umefika, amekwambia au kuna chuo kinatoa degree ya udada wa ndani.?
 
Jaman jaman hivi sio ww ulie niomba tempo ya kufundisha popote hiyo BBA yako unafanya udsm kama ni ww ni pm kabsaa
 
Mazuu, kuwa makini na waajiri wanaotaka mkutane pm au hotelini hawana jipya zaidi ya mbunye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom