Alawi Mawanda
New Member
- Aug 26, 2014
- 4
- 0
Habari wana jamvi, natafuta kazi ya kujitolea kwenye taasisi au kampuni lolote, ninashahada ya mipango na usimamizi wa mazingira, kwa yoyote anaeweza kunipa mwanga tafadhal anisaidie. Huku nikiwa nasubiria sehem nyingine nilizoomba, asanteni.