Fredinandmarcel
Member
- May 29, 2013
- 25
- 8
Wakuu mimi ni kijana nina miaka 21 ninatafuta kazi ya kuchoma nyama na kuuza chips niko mbagala msaada tafadhali.
Mkuu nitakupa Room moja uwe Unakaa na Mtaji wa Kuanzia ila uwe unanipa 10,000 tuu kwa siku deal imekaaje? Kama uko tayari niambie sehemu ya kuuzia Ipo ni yangu wewe utakua unauza sahani 5 tuu kukamilisha hesabu hizo nyingine ni pesa zako!0656622227/0742003442
[HASHTAG]#niko[/HASHTAG] tayar nichekMkuu nitakupa Room moja uwe Unakaa na Mtaji wa Kuanzia ila uwe unanipa 10,000 tuu kwa siku deal imekaaje? Kama uko tayari niambie sehemu ya kuuzia Ipo ni yangu wewe utakua unauza sahani 5 tuu kukamilisha hesabu hizo nyingine ni pesa zako!
Niko tayari nichekiMkuu nitakupa Room moja uwe Unakaa na Mtaji wa Kuanzia ila uwe unanipa 10,000 tuu kwa siku deal imekaaje? Kama uko tayari niambie sehemu ya kuuzia Ipo ni yangu wewe utakua unauza sahani 5 tuu kukamilisha hesabu hizo nyingine ni pesa zako!