Ficha upumbavu wako,onyesha hekima yako.Hauna lolote unataka kupiga chabo tu
Sikuelewi nduguHauna lolote unataka kupiga chabo tu
Pole.. Mungu ni mwema utapata tu. Kuna mtu ana labda niseme kimgahawa sidhani kama kitakufaa sana, labda hela ya kula sijui, bado ni padogo, na najua utahitaji nauli, kulipa chumba n.kMimi ni msichana wa miaka 22 Nina certificate ya hotel management, nipo Tayar kufanya kazi mkoa wowote nipo vizur kwenye department zote za hotel .asante
kama bado anaitaji mtu naomba niunganishe nae tafadhaliPole.. Mungu ni mwema utapata tu. Kuna mtu ana labda niseme kimgahawa sidhani kama kitakufaa sana, labda hela ya kula sijui, bado ni padogo, na najua utahitaji nauli, kulipa chumba n.k
Asante kwa ushaurJaribu zanzibar, sema naona unabidi ujitolee kwanza upate experience kwanza baada ya hapo una uhakika wa kupata kazi. Maana high season inakuja.
Yeye amesema anaweza kufanya kazi kwenye department zote.
Kama unaweza kuwa finance controller njoo PM
