Knock life
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 2,468
- 7,738
Wakuu habari ya uzima,
Nina imani mnaendelea salama na kwa wale mnaopitia changamoto kama kuumwa na n.k Mungu awaguse mpate kupona.
Najua mtandao huu umefanyika baraka kwa watu wengi Sana
Mtandao huu umekuwa, Shule, darasa na chuo cha maarifa na fursa mbali mbali.
Kwanza ninawashukuru members wote pamoja na founder wa huu mtandao Mungu awabariki.
Leo hii naomba MTU mwenye kibarua /kazi akapate kunigusa.
Jina langu naitwa Manfried
Elimu yangu: Shahada ya Kiingereza na kiswahili.
Uzoefu wa kazi: Nimefundisha Kwa kujitolea tangu nimehitimu chuo mwaka 2023.
Kazi nazoweza kufanya
Kufundisha kuanzia Primary hadi form six.
Kufanya kazi mbalimbali kama za Ujenzi katika kampuni n.k
Pia na aina ya Kazi zinazohitaji nguvu pamoja na akili.
Binafsi sifa yangu kubwa nilionayo sio Elimu tu bali uaminifu.
Ikiwa ntapata 200k-250k Kwa kuanzia ntashukuru.
Mimi ni muumini wa Kazi kwanza then pesa baadae.
Location nipo DSM (Kitunda). Namba ya simu +255622283553
Naweza kushindwa kujibu maswali hapa online kwa wakati maana sina simu kubwa Ila ukinipigia nitakupa maelezo.
Nawatakia siku njema na Mungu awabariki kwa kufanyika baraka katika ya watu wengine natamani na Mimi siku nirudi hapa JF na kummulikia MTU mmoja mwanga aliyepo gizani 🙏🏽
Nina imani mnaendelea salama na kwa wale mnaopitia changamoto kama kuumwa na n.k Mungu awaguse mpate kupona.
Najua mtandao huu umefanyika baraka kwa watu wengi Sana
Mtandao huu umekuwa, Shule, darasa na chuo cha maarifa na fursa mbali mbali.
Kwanza ninawashukuru members wote pamoja na founder wa huu mtandao Mungu awabariki.
Leo hii naomba MTU mwenye kibarua /kazi akapate kunigusa.
Jina langu naitwa Manfried
Elimu yangu: Shahada ya Kiingereza na kiswahili.
Uzoefu wa kazi: Nimefundisha Kwa kujitolea tangu nimehitimu chuo mwaka 2023.
Kazi nazoweza kufanya
Kufundisha kuanzia Primary hadi form six.
Kufanya kazi mbalimbali kama za Ujenzi katika kampuni n.k
Pia na aina ya Kazi zinazohitaji nguvu pamoja na akili.
Binafsi sifa yangu kubwa nilionayo sio Elimu tu bali uaminifu.
Ikiwa ntapata 200k-250k Kwa kuanzia ntashukuru.
Mimi ni muumini wa Kazi kwanza then pesa baadae.
Location nipo DSM (Kitunda). Namba ya simu +255622283553
Naweza kushindwa kujibu maswali hapa online kwa wakati maana sina simu kubwa Ila ukinipigia nitakupa maelezo.
Nawatakia siku njema na Mungu awabariki kwa kufanyika baraka katika ya watu wengine natamani na Mimi siku nirudi hapa JF na kummulikia MTU mmoja mwanga aliyepo gizani 🙏🏽