Natafuta kazi wananzengo

Natafuta kazi wananzengo

Mweeh

Senior Member
Joined
Oct 28, 2018
Posts
108
Reaction score
108
Elimu yangu ni chuo kikuu,
Shahada ya uhandisi wa mazingira( BSC.In Environmental Engineering),
Nina miaka 26,
Ni mkazi wa Dar es salaam,
Jinsia ni Ke

Yeyote mwenye kazi halali au akanisaidia nikapata ajira msaada wenu tafadhali hali ni tete jamani
 
KUNA MTU katangaza hii nafasi kwenye jukwaa hilihili JARIBU
Nafasi ya Ajira, Safety Engineer anahitajika , At least 3 years experience.
Kama una Certificate ya OSHA ni vizuri zaidi.

Send your CV to hrfbde@gmail.com

Or WhatsApp 0674983585
 
Ajira zimekuwa tabu sana siku hizi.Kitaa wahitimu wengi wamekuwa madereva bodaboda.

Juzi kati nilipanda uber dereva alikuwa msichana katika story mbili tatu akanambia kamaliza mlimani Geology ila kakosa ajira mwaka wa 3 sasa so ameamua kujishikiza kwenye Uber.


Huyu rais wa wanyonge anatunyosha sana.

Kila la kheri aisee ila wakati unatafuta kazi unayoipenda si vibaya ukajishikiza poppte pale patakapokupa ela ya vocha si lazima iwe ya kitaalamu.
 
Ukiwa serious utapata kazi
Elimu yangu ni chuo kikuu,
Shahada ya uhandisi wa mazingira( BSC.In Environmental Engineering),
Nina miaka 26,
Ni mkazi wa Dar es salaam,
Jinsia ni Ke

Yeyote mwenye kazi halali au akanisaidia nikapata ajira msaada wenu tafadhali hali ni tete jamani
 
Hapana mkuu sina cheti cha OSHA ila nimetuma CV
Umefanya vema kutuma, Cheti cha OSHA ni added advantage.
Hata hivyo kama unaweza soma short course za OSHA itakufaa sana, na kukuongezea nafasi za kupata kazi.
 
Umefanya vema kutuma, Cheti cha OSHA ni added advantage.
Hata hivyo kama unaweza soma short course za OSHA itakufaa sana, na kukuongezea nafasi za kupata kazi.
Hizo course za OSHA zinatolewa wapi?
 
Umefanya vema kutuma, Cheti cha OSHA ni added advantage.
Hata hivyo kama unaweza soma short course za OSHA itakufaa sana, na kukuongezea nafasi za kupata kazi.
Asante mkuu kwa ushauri
 
Ajira zimekuwa tabu sana siku hizi.Kitaa wahitimu wengi wamekuwa madereva bodaboda.

Juzi kati nilipanda uber dereva alikuwa msichana katika story mbili tatu akanambia kamaliza mlimani Geology ila kakosa ajira mwaka wa 3 sasa so ameamua kujishikiza kwenye Uber.


Huyu rais wa wanyonge anatunyosha sana.

Kila la kheri aisee ila wakati unatafuta kazi unayoipenda si vibaya ukajishikiza poppte pale patakapokupa ela ya vocha si lazima iwe ya kitaalamu.
Asante kwa kunitia moyo mkuu
 
Tafuta sehemu ya kujishikiza kama internship upate experience..tena ili uive fanya intern miezi sita then badili field. Pia itakufanya ukutane na wadau mbali mbali na utapata kazi fasta sana
 
Tafuta sehemu ya kujishikiza kama internship upate experience..tena ili uive fanya intern miezi sita then badili field. Pia itakufanya ukutane na wadau mbali mbali na utapata kazi fasta sana
Natafuta kazi yyt mkuu hata nikipata internship poa tu ili mradi nipate experience zaid though ni muhitimu wa 2017 mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu yangu ni chuo kikuu,
Shahada ya uhandisi wa mazingira( BSC.In Environmental Engineering),
Nina miaka 26,
Ni mkazi wa Dar es salaam,
Jinsia ni Ke

Yeyote mwenye kazi halali au akanisaidia nikapata ajira msaada wenu tafadhali hali ni tete jamani
Tafuta ofisi za wanojenga miradi ya reli na bwawa la umeme kajaribu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom