Natafuta kazi, nina diploma ya Pharmacy

magai majigo

Member
Sep 19, 2016
76
27
Natafuta kazi yoyote inayoendana na taaluma yangu nina diploma ya pharmacy (pharm tech.) Namba zangu ni 0658047048
 
Watu bhana wa humu sasa hapa ingeonekana Id ya jinsia ya ke watu ungeona PM zinavyomwagika ila wakiume hapati msaada zaidi ya kuambiwa ajiajiri tu
 
Kwa pharmacy maduka ya dawa ni mengi sana kwann usitafute sehem ujitolee ili upate uzowefu na vi cent kidogo vya vocha ukiwa unasubili kazi kubwa na nzuri
 
Kuna sehemu nmejitolea sana kama miez 3 lakin nlichoambulia n uzoefu tu. Kwa iyo nahitaji sehemu niajiliwe na mm niwe na uhakika wa maisha yangu. Pia ajira za serikali hazieleweki hadi dakika hii kuna waliomaliza diploma kabla yangu na bado hawajaajiliwa hadi sasa
 
Utawezaje kujiajiri wakati huna capital. Minimum ya capital ya kufungua pharmacy n 7.5 million. Sio rahis kuzipata kama huna mdhamini au urithi.
 
Utawezaje kujiajiri wakati huna capital. Minimum ya capital ya kufungua pharmacy n 7.5 million. Sio rahis kuzipata kama huna mdhamini au urithi.
tapatalk_1485837036945.png
tapatalk_1485836986996.jpeg

Mkuu hayo ndiyo majibu ya wanasiasa
 
Natafuta kazi yoyote inayoendana na taaluma yangu nina diploma ya pharmacy (pharm tech.) Namba zangu ni 0658047048

Kama umesomea Pharmacy kwann usiajiri kwa kuandika article na kuziweka kwenye blog yako naukapata pesa kaka. Embu jaribu kufirikiri tena kuhusu taaluma yako. Mbona valuable sana kwa ulimwengu huu wa sasa watu wengi atuna uwelewa kuhusu magonjwa .
 
Kuna sehemu nmejitolea sana kama miez 3 lakin nlichoambulia n uzoefu tu. Kwa iyo nahitaji sehemu niajiliwe na mm niwe na uhakika wa maisha yangu. Pia ajira za serikali hazieleweki hadi dakika hii kuna waliomaliza diploma kabla yangu na bado hawajaajiliwa hadi sasa
Watu wnajitolea mwaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom