Natafuta kazi, nina diploma ya kilimo

Natafuta kazi, nina diploma ya kilimo

bustani mkuu ajira zimeyayuka why lakini we depend kuajiriwaaa tu
et mitaji hamna sio kweli mdau sugua ubongo think and be out of box complete aisee ningekuchapa bakora zisizo na idadi kenge mjusi mamba wewe..tafadhali niPM nikupe maujuzi flani btw pole mno
 
Hebu tudokezee mfano watu au kampuni inayoweza kukuajiri...
 
bustani mkuu ajira zimeyayuka why lakini we depend kuajiriwaaa tu
et mitaji hamna sio kweli mdau sugua ubongo think and be out of box complete aisee ningekuchapa bakora zisizo na idadi kenge mjusi mamba wewe..tafadhali niPM nikupe maujuzi flani btw pole mno
daaaah manina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom