Natafuta kazi, nina Diploma ya Information Technology

Natafuta kazi, nina Diploma ya Information Technology

Lazarus

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2012
Posts
364
Reaction score
93
Habari wanajamvi,
Mwenye network na makampuni ya IT anifahamishe.
 
Ushauri wangu mdogo kukusaidia, tafuta email nyingine ambayo iko prpfessional zaidi e.g firstname.lastname@yahoo.com or similar.

Elezea vitu ulivyoacomplish ulipokuwa Airtel so kwa mfano
  • Setup Exchange server for ..........
  • Provided desktop support for X users.....
  • etc
Kutegemea na ulichokuwa unafanya Airtel.

Pia unaweza ukalist vitu unavyojua ila hiyo ni less effective.

Angalia Tanzania Jobs & Employment in Tanzania sio rahisi kukosa kazi ya IT na experience ya miezi 8, unless walikuwa hawakupi kazi yoyote.
 
mdogo wangu jitahidi tu kuomba kazi utapata tu usikate tamaa kabisa mungu yupo pamoja nawe
 
Habari wana JM Forum
Nilikuwa naomba msaada kwa yeyote mwenye network ama chanel ya kazi.
Mimi ni kijana niliyemaliza
diploma ya information technology ambaye mpaka sasa bado nipo mtaani huku natafuta kazi.
UZoefu;Nimemefanya kazi airtel tanzania
kwa muda wa miezi minane
kama field.
Pia nina certificate ya
Information technology.
Napatikana kwa Barua
pepe; a2azizi@yahoo.com
asanteni sana na Mungu awabariki sana katika kila mfanyalo.
mie sina hata hio certificate lakin nina kakijiwe kangu au niseme ofis ambayo natumia utundu wangu kufanya windows installation,hardwares maintenance,programs installation,mobile repair software and hardware e.t.c. labda nikuibie siri moja. mtaani matatizo mengi ya pc and mobile ni madogo madogo tu na ndio watu wanapigia pesa kikubwa ni kutafuta jina na kukuza networks yako ya kazi ila ukitaka ajira utasubir sana kitaaa.. na sema upo wap tupeane mbinu. thanks
 
Back
Top Bottom