Habari wakuu; mimi ni kijana wa kiume niliemaliza diploma ya business administration mwaka 2013. pia ni dereva mwenye class D na uzoefu wa miaka 7; hivyo ninaomba msaada wa ajira kwenye moja ya hizo sekta . Asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.