Kazi yoyote si lolote. A man of all trades has no trade at all! Ulisomea ualimu na computer operations. Fanya kazi kulingana na taaluma yako.Mimi ni kijana wa miaka 20 nimehitimu chuo taaluma ya uwalimu ninasubiri ajira kwa sasa natafuta kazi ya kufanya Pia nina ujuzi katika computer operations.
Kazi yeyote sio lazima iwe ya kufundisha
0782741783
Huu ni bonge la ushauri,tena akitaka kozi aangalie zile ambazo hata kitaa kazi unapiga,mfano Umeme wa magari hauwezi kukusaliti,Motor vehicle,Mambo ya AC za majumbani na kwenye magari,kati ya izo chagua moja itakutoa tu na hutokosa mia mbili mia mbili za mtaaniKwa umri huo ingia veta upge shoti kozi au long huku ukimsikilizia bashungwa na shemdoe wake.
Dogo, kuna mama zako wana miaka 36 hawajapata chimbo lolote kwa samia.
Bado unaajirika kwa miaka 25 mbele.
Mimi ni kijana wa miaka 20 nimehitimu chuo taaluma ya uwalimu ninasubiri ajira kwa sasa natafuta kazi ya kufanya Pia nina ujuzi katika computer operations.
Kazi sio lazima iwe ya kufundisha.
0782741783KIDT-VTC MOSHI Tunahitaji mwlalimu WA ecd, front office na secretary kwa wanafunzi wa ngazi ya VETA TUWASILIANE 0754469894 /0717157640