Natafuta kazi, nimesoma pharmaceutical science

Natafuta kazi, nimesoma pharmaceutical science

Annah simbeye

Member
Joined
Sep 6, 2021
Posts
13
Reaction score
10
Mimi ni bint wa miaka 21 natafuta ajira nimesoma pharmaceutical science miaka miwili ila mwaka wa pili semester ya mwisho nimeshindwa kufanya mtihani kwa kukosa Ada.

Natafuta ajira yoyote.
 

Cheki hii
 
Back
Top Bottom