Collins george
Member
- Nov 19, 2020
- 5
- 27
Habari wana Jf.
Kwa majina nnaitwa Agness George nimemaliza kidato cha 6 na kujiunga na University katika stashahada ya biashara BBA lakini sijafanikiwa kumaliza miaka 3 nimeishia miaka 2 tu.
Nilikuwa natafuta kazi yoyote iwe temporary hata permanent itakayoniweka busy tu na kazi ili nisiwe mtaani free bila kufanya jambo lolote.
Sina uzoefu wa kazi nilio nao ni kwamba nimesha wahi uza duka kubwa la jumla as cashier.
Msaada kwa yeyote atakayekuwa na connection.
My namba 0745149663
Kwa majina nnaitwa Agness George nimemaliza kidato cha 6 na kujiunga na University katika stashahada ya biashara BBA lakini sijafanikiwa kumaliza miaka 3 nimeishia miaka 2 tu.
Nilikuwa natafuta kazi yoyote iwe temporary hata permanent itakayoniweka busy tu na kazi ili nisiwe mtaani free bila kufanya jambo lolote.
Sina uzoefu wa kazi nilio nao ni kwamba nimesha wahi uza duka kubwa la jumla as cashier.
Msaada kwa yeyote atakayekuwa na connection.
My namba 0745149663