Natafuta kazi Mpanda

Natafuta kazi Mpanda

mercy heart

Member
Joined
Sep 20, 2014
Posts
20
Reaction score
1
Habari zenu wanaJF!

Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu mwaka wa kwanza, nipo likizo kwa muda wa miez 4.

Natafuta ajira yoyote ya kujishikiza na nipo Mpanda

Ahsanteni!
 
umesoma koz gani, nipo mpanda

KOZ TENA KOZ Ndo nini Unavyoonekana tuu wewe huwezi kumsaidia yaani mtuu aanze kukutajia koz alizosoma humu! Duuh Kwa kukusaidia tuu Chuo Kikuu huwa wanaulizwa umesoma programme gani? na wala siyo kozi nina mashaka sana na uelewa wako ndugu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom