Frankdaniel711
JF-Expert Member
- Oct 8, 2018
- 366
- 140
Habari wana jf,
Naitwa Frank naishi chanika dar es salaam naomba mabosi zangu wenye biashara zenu kwayoyote anaeitaji kijana kwajili ya masoko (kutafuta wateja) basi nipo hapa Nina uzoefu wa miaka 3 ivyo nazijua changamoto zote zinazo husu masoko kikubwa ni kufanya kazi kwa bidii na juhudi zote namba zangu 0677423349 nipigie nipo hewani muda wote au nitafute WhatsApp kwaiyoiyo namba nitashukuru sana kama nitapata boss wakufanya nae kazi jamani mwanzo wa mwaka huu.
Asanteni sana
Naitwa Frank naishi chanika dar es salaam naomba mabosi zangu wenye biashara zenu kwayoyote anaeitaji kijana kwajili ya masoko (kutafuta wateja) basi nipo hapa Nina uzoefu wa miaka 3 ivyo nazijua changamoto zote zinazo husu masoko kikubwa ni kufanya kazi kwa bidii na juhudi zote namba zangu 0677423349 nipigie nipo hewani muda wote au nitafute WhatsApp kwaiyoiyo namba nitashukuru sana kama nitapata boss wakufanya nae kazi jamani mwanzo wa mwaka huu.
Asanteni sana