Natafuta kazi maofisini

Nitto95

Member
Joined
May 2, 2019
Posts
6
Reaction score
3
Mimi Ni Binti wa miaka 23 natafuta kazi katika maofisi nifanye km secretary,receptionist au office attendant Nina experience kama office attendant miaka 4. Tafadhal mwenye connection naomba tusaidiane wapendwa hta sales pia nitafanya km itapatikana kwa mawasiliano yang plz naomba nipm asanten sana.
 
Kama uko dodoma nenda nssf na maombi ya katibu muhtasi wametoa nafasi hio ya kazi.
 
Afu hawa receptionists wanakuaga wakuda sana pale Vijana watafuta ajira kama wao wakiomba kuonana na HR...

Wanavimba kwenye front desk.

Kuna mmoja alinivimbia ile nataka sepa akatokea mama ndo meneja wa pale akasema mbna mmekaa muda mrefu na uyo kaka anataka nn?? Me nkasalimia nikamwambia nashida na meneja akasema ndo me twende oficin, dada alipata aibu sana
 
Kama uko dodoma nenda nssf na maombi ya katibu muhtasi wametoa nafasi hio ya kazi.
Nami ni mhanga,izo nafasi wametoa sehemu gani ama gazeti gani,za mafundi umeme vipi napo hawajatangaza
 
Inategemeana umekujaje.

Mimi ni mlinzi. Nimechana sana barua za waombaji wa kazi.

Ukijifanya mbongo mimi mwenyewe mbongo 100%
Mkuu kumbe mambo ndivyo yalivyo?
 
Nahisi ule ukaribu wao na mameneja ndo wanajiona na wao kama mameneja' wa hiyo kampuni.

Kenge Sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…