Natafuta kazi lakini kwa mzungu

Natafuta kazi lakini kwa mzungu

Mkuu.....
Hebu acha masihara aiseeee....
Unaposema kazi yeyote.. , tena kwa mzungu..
Ebu ngoja niishie hapa, wanao jua kiswahili watakuja waendeleze nilipo ishia..
 
ha ha ha kweli bongo bado safar ndefu
 
Bandiko lako lingekuwa na mashiko ikiwa utaliweka google! JF wazungu si wanahisa, na kutafuta mzungu huku ni kutunanga sisi wa kienyeji!
 
Kuwa serious dogo,weka cv yako humu kuna watu wanafanya kazi na wazungu huwezi jua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom