Nakushauri uende kwenye hizo sheli wakupe muongozo zaidi maana kila kazi ina taratibu zakeHabari wapendwa mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25,ninatafuta kazi kwenye sheli nlikua naomba kuuliza barua ya maombi ya kazi naipeleka wapi au nifanye nini ili niweze kupata maana nina uhitaji sana wa kazi.
Sawa asanteNakushauri uende kwenye hizo sheli wakupe muongozo zaidi maana kila kazi ina taratibu zake
Sina mtaji,ndo nipo natafuta mtaji nikalimeNenda ukalime ndiyo kazi iliyobaki
Palipobaki hapo mkuu muachie namb pm tu.Pole pole, una uhitaji sana wa kazi au pesa?
Ni kiasi gani wanalipwa Pump attendant?
Naona Victoria huwa wanaweka vibinti vingi na kujaribu kuvifanya kuwa vilokole, ingawa na uchaga unahusika kuajiriwa pale, vipi wewe ni mchaga?
Mtu akijitolea kukupa huo mshahara utakaoupata kule kila mwezi, utakubali kukaa home?
Nikikupa heka 2 bure utalima?Sina mtaji,ndo nipo natafuta mtaji nikalime
Kijana wa miaka 24 tena mwanamke,akalime?Hufuati misingi ya maisha weye!Anayetakiwa kwenda kulima ni mtu wa miaka zaidi ya 50.Kama wale wabunge wanaosinzia bungeni.Nenda ukalime ndiyo kazi iliyobaki
Umeanza roho njema?Pole pole, una uhitaji sana wa kazi au pesa?
Ni kiasi gani wanalipwa Pump attendant?
Naona Victoria huwa wanaweka vibinti vingi na kujaribu kuvifanya kuwa vilokole, ingawa na uchaga unahusika kuajiriwa pale, vipi wewe ni mchaga?
Mtu akijitolea kukupa huo mshahara utakaoupata kule kila mwezi, utakubali kukaa home?
Ziko wapi hizo heka mkuuNikikupa heka 2 bure utalima?
Yaani umpe mshahara bila kazi? Au kutakua na kazi nyingine tofauti? Au atakaa home wapi kwako ama? . Hela nzuri ni ile mtu atakayoifanyia kazi halali(jasho lake) mpe mchongo huo atakukumbuka hata atakapokua mzeePole pole, una uhitaji sana wa kazi au pesa?
Ni kiasi gani wanalipwa Pump attendant?
Naona Victoria huwa wanaweka vibinti vingi na kujaribu kuvifanya kuwa vilokole, ingawa na uchaga unahusika kuajiriwa pale, vipi wewe ni mchaga?
Mtu akijitolea kukupa huo mshahara utakaoupata kule kila mwezi, utakubali kukaa home?
Pole pole, una uhitaji sana wa kazi au pesa?
Ni kiasi gani wanalipwa Pump attendant?
Naona Victoria huwa wanaweka vibinti vingi na kujaribu kuvifanya kuwa vilokole, ingawa na uchaga unahusika kuajiriwa pale, vipi wewe ni mchaga?
Mtu akijitolea kukupa huo mshahara utakaoupata kule kila mwezi, utakubali kukaa home?
Fursa ni huko chumbani sasa, ni swali tu!Wazee wa fursa
😀😀😀Yaani umpe mshahara bila kazi? Au kutakua na kazi nyingine tofauti? Au atakaa home wapi kwako ama? . Hela nzuri ni ile mtu atakayoifanyia kazi halali(jasho lake) mpe mchongo huo atakukumbuka hata atakapokua mzee
Andika barua ya maombi,ukiambatanisha na barua ya mdhamini ,passport size, pamoja na barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa peleka sheli husika,unaweza ukaandika nying pia ukasambaza sheli tofaut tofaut huwez jua bahati yako itaangukia wap coz kam huna connection pia inakua n changamoto kupat.Habari wapendwa mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25,ninatafuta kazi kwenye sheli nlikua naomba kuuliza barua ya maombi ya kazi naipeleka wapi au nifanye nini ili niweze kupata maana nina uhitaji sana wa kazi.