bintiEdo1989
Member
- Jun 4, 2015
- 94
- 24
Binti wa miaka 26 nimehitimu diploma ya Finance katika chuo cha Utumishi wa umma Tanzania natafuta kazi ya kujitolewa hii ikiwa ni kwa lengo la kupata uzoefu wa kile nilichokisoma kwa vitendo na kuongoza maarifa mwenye huitaji au kama kuna sehemu inajitaji mfanyakazi nijuzeni