Natafuta kazi Dar es Salaam

Natafuta kazi Dar es Salaam

Polax

Senior Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
116
Reaction score
6
Jamani msaada wenu please nimekuja Dar es Salaam kutafuta kazi yeyote maana hapa nina mwezi.

Please contact zangu izo hapo airtel 0685816103 mda wowote ndugu niko hewani
 
Kazi zipo bwelele wewe tu na bidii yako

Nakutakia mafanikio mema
 
ha!haaa!umetokea wapi mkuu?na ulipotoka hakuna kazi?na wote mkikimbilia mujini nani ataleta maendeleo vijijini! ila sawa huku kila mtu baby so karibu baby
 
Kama unaweza kutumia jerk hammer kuna jamaa atakupigia hivi punde.
 
jaribu kujieleza vizuri ili ueleweke unataka kazi ya aina gani? Wewe binafsi elimu yako ni ya kiwango gani?
jinadi ili utoe ushawishi kwa watu wakusaidie
 
Utaweza kuwa mvumilivu wa kusubiri kweli?maana tunaenda kwa foleni,mpaka wazawa na wenyeji wote wa Dar wawe wamepata kazi kwanza then wale waliokutangulia kuja mjini kutafuta kazi kama wewe mwisho kabisa wale uliokuwa nao siku moja kutafuta kazi na hapa pia inategemea nani alieanza kushuka kwenye Gari Ubungo,kama wewe ni wa kwanza utawawahi wenzako kama ulikuwa wa mwisho kushuka kwenye Gari wenzako watatangulia kupata kabla yako.
 
weka cv. jifagilie japo kwa kifupi. unataka kazi alafu unashindwa kujipromo!!!!! wa ajabu sana ndg.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom