Viwanda bado havijajengwa unamaanisha viwanda vipi mkuu!Bado tunajipangaHabari wanajamiiforums
Natafuta kibarua au kazi viwandani au sehemu nyingine yoyote
Jinsia yangu wakiume, umri miaka 23 Elimu kidato cha sita
Kwa yoyote naomba msaada
Nb. Ni mwepesi kujifunza na kuelewa
Poa maixha ni xafari ngumu xanaNashukur kwa wazo
Habari wanajamiiforums
Natafuta kibarua au kazi viwandani au sehemu nyingine yoyote
Jinsia yangu wakiume, umri miaka 23 Elimu kidato cha sita
Kwa yoyote naomba msaada
Nb. Ni mwepesi kujifunza na kuelewa
wewe una toa ajira zip ndugu mjini mambo menginitumie namba yako katika 0
769555642
Uandishi wa ovyo sana huu. Huko shuleni ulienda kusomea ujinga?Poa maixha ni xafari ngumu xana
Kila k2 test kitu kikiwa frx ndo maixha yanaxonga
Mkuu huku sio fbUmri wako bhado xana ukikoxa uxikate tamaa
Unakuruhushu hata kulima karibu xana mbeya utatoka tyu kimaixha
Nahitaji watu wa marketing.wewe una toa ajira zip ndugu mjini mambo mengi
2017 kumbr bado kuna wanaume mnaandika kama visichana vya o level. (tyu, x)Umri wako bhado xana ukikoxa uxikate tamaa
Unakuruhushu hata kulima karibu xana mbeya utatoka tyu kimaixha
marketing sawa bidhaa gani maana kuna bidhaa nyingi sna .. msaada hapo tafadhali na vipi kuhusu malipo ni kwa mwezi ama wiki ama kwa siku shukrani...Nahitaji watu wa marketing.
Unaposema mjini mambo mengi una maana gani?