Natafuta kazi/ajira

Mr.Tm

Member
Joined
Sep 20, 2015
Posts
13
Reaction score
9
Mimi ni kijana wa kiume,Nina umri wa miaka 29,napatikana mkoani Ruvuma.Nina elimu ys Stashahada ya Matumizi ya zana katika kilimo (Diploma in Agromechanization),nimejihusisha na Project mbalimbali za kilimo na nimefundisha Chuo cha kilimo.
Mwenye fursa yeyote naomba anifahamishe.
Shukurani kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…